Duration 7:10

JINSI YA KUPIKA SUFIYANI/SOFIYANI BIRIANI ( BIRIANI NYEUPE)

15 014 watched
0
382
Published 21 Nov 2021

Mahitaji Kwa kuroweka kuku : Kilo 1 kuku alokatwa vipande vya kiasi Kjk 1 ½ cha masala ya biriani ( aroma of Zanzibar) au utakayo penda Kikombe 1 mtindi mzito usokuwa na ladha Chumvi kiasi Maji ya limao au ndimu kiasi vjk 1-2 cha kulia Mchanganyiko wa kitunguu thom na tangawizi mbici kjk 1 cha kulia Mahitaji ya rosti/rojo la biriani ½ kikombe maMfuta ya kupikia 1/4 kikombe Bizari nzima (Kijiti cha mdalasini, pilipili manga chembe 4, hiliki za kijani chembe 4 , karafuu chembe 2 , majani majavu ya Bay ) Kitunguu thom na tangawizi mbichi ilosagwa kjk 1 cha kulia Vitunguu maji vilokatwa wembaba gram 700 Korosho zilosagwa nzito ( paste ) kiasi gram 40 Heavy cream au double cream 1/2 kikombe Majani ya kotmiri/dhania yalokatwa vipande vidogo kiasi vjk 2 vya kulia Majani ya nanaa yalokwatwa vipande vidogo kiasi vjk 2 vya kulia Mahitaji ya wali Mchele vikombe 2 1/2 Mchanganyiko wa maji na maziwa ( kiasi cha kuzidi mchele) Chumvi kiasi Majani ya kotmiri yalokatwa vipande vidogo vidogo kiasi kjk 1-2 cha kulia Majani ya nanaa yalokatwa vipande vidogo vidogo kiasi kjk 1 cha kulia Bizari nzima kama ( mdalasini kijiti 1, pilipili manga chembe 4, hiliki za kijani chembe 4 , karafuu chembe 2 , majani majavu ya Bay ) Samli kiasi vijiko 2 vya kulia Maji ya wardi vjk 2 vya chai au zaidi Vitunguu vya kukaanga na korosho kwa mapambo kama utapenda BIRIANI MASALA https://studio.youtube.com/video/K9QmWjPyhYo/edit Video intro Zanzibar Spice Market by Farhat Abbas /results?search_query=farhat+yummy Video Intro Mombasa spice market by Chef Farouk Amboka https://www.instagram.com/faroukamboka/?hl=en Music courtesy https://soundcloud.com/beatoj/contemplative-middle-east-oud-improvisation This is English and Kiswahili channel where you will find cuisine from around the world

Category

Show more

Comments - 88