Duration 2:21

Rais Uhuru akutana na viongozi wa Nyanza Ikulu - DIRA YA HOPE TV

55 watched
0
0
Published 28 May 2021

Rais Uhuru Kenyatta Ijumaa hii katika Ikulu, Nairobi amefanya mkutano na viongozi waliochaguliwa kutoka eneo la Nyanza kabla ya ziara yake ya maendeleo ya mkoa huo baadaye wiki hii. Uhuru anatarajiwa kuongoza hafla ya sherehe za siku ya Madaraka ya Mwaka huu katika kaunti ya Kisumu, Jumanne, Juni 1. Follow us on: Facebook: https://facebook.com/HopeTVKenya Twitter: https://twitter.com/HopeTV_KE Instagram: https://instagram.com/HopeTV_KE

Category

Show more

Comments - 0