Duration 10:44

PART2MAMA YANGU MCHAWI AMEMUUA BABA/ANAKAA CHOONI TUNAMUONA USIKU/ALIVAA SHUKA JEKUNDU/UCHAWI GODORO

13 623 watched
0
171
Published 7 Jun 2020

Category

Show more

Comments - 151
  • @
    @soniyakinywelo86274 years ago Daah......hongera Sana kijana kwa ujasiri ......
  • @
    @matanobaya76604 years ago Niliposkia mawakambo amekuwa chizi na babake amepona nilifarijika huku machozi yakinitoka.inaniliza kweli.😢😢😢pole bro 4
  • @
    @abdulhalimhumud19174 years ago Hongera Mr Mata Kwa Kazi yako Mzuri Mungu akubarik amen 🙏 1
  • @
    @manbanshaban92534 years ago Asante sana mzee wa matukio kwa kuleta muendelezo mapema,,muambie kijana atupe namba za mtibabu kabla na sisi tufanywe msukule. 3
  • @
    @jennifer19424 years ago Sijawai kujutia Chanel yako inatufundisha mengi sana.mimi mwenyewe nilitolewa msukule.nilikua nalinda kanisa la kinaigeria
  • @
    @zoey26354 years ago Ipo Siku Huyo maza atakuja kusimulia hapa mungu ni mwema 1
  • @
    @awadhirajabu77544 years ago We Habari Gani Naludia Ili Niijue Vizulj
  • @
    @lorraineatieno65444 years ago One of the greatest reporter..investigater...unafanya kazi nzuri sana. Ur so inquisitive natunapata picha kamili ya story. God bless u more.
  • @
    @chidiomari.654 years ago Wah,unatakiwa uitwe Davista Master, maana kazi unayoifanya ya kutafuta matukio ya wakulungwa Ni balaa, Asante kwa Service yako tunakufuatilia kwa Kila story.ingawa story nyingine hata comments unaogopa kucomment. 1
  • @
    @mikabaylon17564 years ago Hongera sana Mata vipi yule bwana wa bagamoyoo aliishia wapii? 2
  • @
    @shabanmsago32274 years ago Nami nna ndugu zangu nahisi vifo vyao co vya kawaida
  • @
    @euniceeunice76804 years ago Kwaiyo apo mtamshukuru mganga 😀😀😀😀😀😀wkt mmesaau kama mganga na mchawi boss wao ni 1 ambae ni shetani...
  • @
    @mariamissa19744 years ago Hili liwe funzo kwa wengine wenye tabia Kama hizi😥inasikitisha sana 1
  • @
    @janeeesailon73254 years ago Jamanii naomba no ya huyo kaka nimpate mamaangu, pia alikufa mazingiraaa ya kutatanisha 😢😢😢 1
  • @
    @fatmakiruwasha23784 years ago Duu wanawake ss jamani hebu tubarike jamani
  • @
    @roseuwambe80894 years ago Duu huyo mamaaliolewa iliapate malisasa mabaya yana mludia mwenyewe
  • @
    @omarynamara13394 years ago Jamani ndio narud kanisani nimechelewa
  • @
    @shamsaseiph88774 years ago Thnx davister. Lkn kaka tunaomba muendelezo wa yule dada alokuwa anauza vipodoz akaambiwa na mganga alale na kaka ake
  • @
    @maryammohammad11484 years ago Aisee paka ni melia jaman tumuogope mungu
  • @
    @hamidaalhabsi85684 years ago EEEE BINADAMU kweli atutosheki mpaka mchanga wa kaburi poleni sana WATOTO 💔💔 1
  • @
    @ameame19904 years ago Nakukubaali saana kiukweeli dunia inamaaambo
  • @
    @namename86704 years ago Bigger bro davista mata I love you show I'm in the Kingdom of Bahrain watching
  • @
    @moreenmbatha11474 years ago tunataka part 3 kama dawa ya corona plz 2
  • @
    @sophiaalexander60254 years ago Daahh yani sisi wanawake tunaferi wapi
    Baada ya kujibebisha vzr ukae nawatoto vzr unaa za mazaru hiyo bahatinikiipata mm sifanyi ujiga huo
  • @
    @eldahwangeshi52714 years ago Lol makubwa haya.... may the almighty strengthen that family through out.....🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽 1
  • @
    @saumrashid80864 years ago Jmn cc ndio hamuoni 😢😢😢😢mtangazaj bro davistar 1
  • @
    @gosbertmuta54213 years ago Kwa wakristo hamna haja ya kushangaa Sana maana kina Lazaro bado wapo ukiamn iman yako inakuponya na hii ndo imani bhana
  • @
    @ayshamahariq66654 years ago Tamaa mbaya yan ukutee mtu na malii yake na family yake umuuwe iliufaid ww kesho mbelee ya mungu utajibu nn shkuran bro watuelimisha 1
  • @
    @wantangosaimon52954 years ago Kama huyo mwanamke alikuwa chizi safi xana hajui malipo ni hapa duniani mbinguni tunaenda kula bata 1
  • @
    @ibrahimrukundo30644 years ago huyo mama anastahiki kuhangaika kabisa. 3
  • @
    @alimachitechi21073 years ago Mpelekeni kanisani moja huyo davister atamwelekesa kwa watu wamoja wenye aojiana wamebonea kwa yesu kristo
  • @
    @neemaabdallah35674 years ago Mbona mwatuonesha fulana na ss twataka ona
  • @
    @chrissackland53694 years ago Hii Haijakawa Sawa Story mbona Imeisha Bila kueleweka hamjatuonesha Muhusika 1
  • @
    @africandarling69254 years ago Hiyo yote mwanamke Halikuwa na tama ya kitu na sio utu dooo tama mbaya sana wanake wezangu 1
  • @
    @florachuwa3014 years ago duuuh hatar na nusu...sasa keshakua kichaa anavuna alichopanda ...mtu kakuifadhi maela uneyakuta unashindwa kula kwa adabu...chaaah
  • @
    @mwajumashauri96744 years ago Naomba uniunganishe na uyo ulie muhoji maana na mm nnashida km ya kwake nipate uuyo msaidiz 1
  • @
    @gaudensiarobert47824 years ago Mungu atunusuru wanawake na tamaa za mali so sad hii inaitwa mwana kulifaind mwana kuligert 😂😂😂kashakuwa chiz tena 7
  • @
    @teddyelieza97804 years ago Usimfanyie mtu ubaya wanawake wanaoamini uchawi ni wabaya
  • @
    @mwidadiabdalla35644 years ago uchawi hauna mwisho mwema. ila ningependa kumjua huyo mganga kama hutojali
  • @
    @aminahassan44984 years ago mmh wallaai emuungu eee.sasa tumuone huyo baba jamniiiiii dunia hii 3
  • @
    @zevedikassim80114 years ago Dunia inavitko mungu atuepushe na majaribu kama hayo 1
  • @
    @abbyadams86914 years ago Aaaafu kuna mijitu inasema hakuna uchawi.Guys!!!! 1
  • @
    @mariamali18874 years ago 🙄🙄🙄🙉🙉🙉 hii kali. Kweli mwenyeezimungu amesema. Mshirikina atakaa motoni milele. Na nizambi kubwa isiyo sameheka. Yaaani toka nianze kutizama hivi vipindi nimejifunza vitu vingi. Na tulisha ambiwa mwisho wa dunia kutakuja fitina ambazo zitatuacha mdomo wazi ndio hizi sasa . ...
  • @
    @emmanelly68644 years ago Part 3 pls. Hizi story za msukule i hear them and it feels like am watching a movie. Wonder if it could have happened to my bro who died mysteriously in tz
  • @
    @alfambaga98234 years ago Davi umezinguaaa hujatuonyesha huyo baba😀😀😀
  • @
    @goodgood93704 years ago Isee Davister hii kali sana jamani ..yaani umkute mtu na Mali zake na watoto wake badale ushukuru mungu ,hutateseka vibarua na Jua likikuwakia ..unaamua kumuua mzee wawenyewe ubaki na Mali yake ambayo hujui alitesekaje kuipata .isee wanawake tupunguze roho chafu tujue mungu nae yupo anatuona ..hakufanya vizuri huyo dada nalaani hicho kitendo chake. ... 15
  • @
    @Hassanmofty4 years ago Nani kawai namba leo sijaona akijitambulisha
  • @
    @fatmamustapha69294 years ago Pongezi kwa bamdogo na watoto mtoto kwa mapenz ya hali ya juu
    Navaa kiatu Cha huyu kaka nikiota mzee anakwambia nidaidie naeza sema ni kutokana na marue rue ya msiba na mawazo tu na ningemuschia mungu na kisingeendelea chochote daaah inauma Sana jmn sanna🙏 ...
    1
  • @
    @shebaminde76564 years ago Yeuuuwi ningemwona baba yangu mmmh!! Kwanza ningetoa kijambo cha mshtuko na yangefata mavi ya mwaka mzima ningekunya kuliko tembo!!maana sio kwa mshtuko huo🏃🏃🙆🙄
  • @
    @nellyrhn43494 years ago Kwakweli malipo yazambi ni umauti uyo mama kapata alicho kua anatafuta kwakweli mshahara wazambi ni mauti story nzure yenye funza ndani yake wanawake typunguze tamaa
  • @
    @maryamoman13704 years ago Kumbe kweli uchawi upo jaman duuh wachawi hawa 1
  • @
    @khadijaomar84274 years ago Duh so msukule hua ameekwa kiti ama???
  • @
    @dullamburu17184 years ago Hongera Sana brother na pole Kwa kujua umuhimu wa Mzee na kufanya juhudi mpaka mukampata hai tena Mungu akubariki ww na familia yako pepo ya Mungu huipati kama hujawatendea wema wazazi, huo wema ulofanya Kwa Baba yako hongera Sana na huyo mama wacha ya mkute mwisho wa ubaya aibu, fedheha, na malipo, Anae kufanyia ubaya kamwe haondoki duniani salama nae utamkuta tu ubaya wake. ... 3
  • @
    @paschalmzyungu43534 years ago Mmmh duniani kuna mambo..,kwa mtindo huu, mke wangu akitangulia sioi tena..Mungu nisaidie 7
  • @
    @hamidibrahim53694 years ago Unaweza kumsaidia vipi mtu ambayo ameuliwa kiushirikina na kufanywa msukule.... Kuna zaidi kando na dua, sadaka na amali njema??????
  • @
    @nusuratihamisi65244 years ago Dunia inamambo duh nimeamin uchawi upo😭
  • @
    @mariamfritsi97614 years ago Mambo mengi ya ajabu duniani humu,hivi mtu azikwe alafu ageuke gogo,alafu tena ageuke mtu.ama kweli inatisha,mtu azikwe alf awe mzima tena. 3
  • @
    @zulfakamwenga53544 years ago Davi mbona hukutuonesha huyo baba japo ukamficha sura