STEVE NYERERE AMTUKANA MSIGWA - "Ni PANYA Tu, Nagombea UBUNGE Iringa, Ana MADENI Sana"
VITA ya muigizaji Steve Nyerere na Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa, imeendelea kupamba moto, ambapo Global TV baada ya kufanya mahojiano na Mbunge huyo sasa imemua kumtafuta Steve ili kujua nini hasa kinasababisha waingie katika vita hiyo..
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
(+255 784 888982)
(+255676229628)
HABARI MPYA DAILY:
http://bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV:
http://bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW:
http://bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe http://bit.ly/globaltvonline
@justinbenedictor35674 years agoKelele za nini, si ukagombee uone utapata kura ngapi! Mpaka za wasanii wenzio utazikosa. 17
@
@crollinpatrick49644 years agoAlicho kizungumza mh msigwa bungeni kilikuwa na maana sana kwa taifa ila tatizo ni uelewa, na mtu kama steve si rahisi kuelewa kwa sababu ni mjuaji sana.. ...Expand
@
@bakariilulubala1204 years agoWananchi wenzangu, bila kujali uwezo wa msigwa bungeni mwenye matatizo nialioutumia haukuwa wa kistaarabu ukichunguza kwa ndani ulikuwa na roho ya kwanini kwa mtanzaniakula matunda ya nchi yake ni vibaya? Inakuwaje utoe kauli ya kumdhalilisha mwenzio? Angeboresha kwa kusema wale wasanii wakubwa wa nje waungane na wasanii wa tanzania kutangaza utalii wa nchi yetu kuliko kutumia kauli mbovu yani watu wenye busara sijui hapo mzee huyu aliteleza? Steve anaandamwa bure kwenye comments mwenye matatizo ni huyu mzee alieonyesha roho ya kwanini kwa mtanzania mwenzie!. ...Expand
@
@amaninaupendo.35394 years agoAmen amen. Kila wakati nasema watumishi wa Mungu jiepusheni na malumbano na watu. Ingieni vita nao katika maombi na siyo vinginevyo. Msigwa wewe ni Mchungaji vita vya nini na Watu?. Waefeso - 13. Mungu awasaidie. Amen. .....Expand
@
@georgeigogo92594 years agoStive nyerere ww nibwege tuu. Sana kwakujidai unajibishana na msigwa. 7
@
@devidmwakipunda16974 years agoMtangazaji bwege iyo kazi akufai wachie shirawadu. 3
@
@ngometvarusha40304 years agoMnapenda sana umbea sintofahamu ipi kwa mfano msigwa kaongea bungeni, mnampa kichwa nyerenyere nakuharibu jina la mwalimu. 1
@
@suhadsalim55284 years agoHuyo hana mpango wowote sanaa imemshinda.
@
@mwajejasson69954 years agoWewe muandishi msigwa uwezi kumfanisha na huyo jamaa mm simuelewi hata kidogo. 12
@
@benjaminlijongwa37154 years agoWachungaji huwa tunapewa exemption (msamaha wa kodi) 3
@
@stanslausmteme84554 years agoWe anakujua nani! Eti kuigiza sauti iv ckuhizi anasikiliza nani? We nawe msanii! 5
@
@agnetherkisinda35154 years agoSisi kweli tunampenda msingwa sana! Kwaiyo ww pita kwa ivi tuachie msingwa wetu.
@
@justinbenedictor35674 years agoHivi huyu anazani kila mtu anaweza akawa mbunge. 9
@
@mzungu20124 years agoSteve una uwezo mdogo sana baab. Unatakiwa kuwa serious na kazi.
@
@josephmboya91634 years agoKama we mwanaume rijali jaribu kugombe nae tena nakwambia utajinyonga baada ya matokeo.
@
@nazmaabdullkarim80224 years agoMttangazaji anamtetea msigwa sijui mwenzie.
@
@richardnganya23114 years agoStevejaribu kusoma nyakati! Uelewa wako bado sana ukilinganishwa na mch. Msigwa! Kazi mbadala ya usanii sio changudoa wala ujambazi! Steve bado sana!
@
@danielmaeda50744 years agoUnachekesha watu ww hivi unaweza kujilinganisha na msigwa.
@
@stanslausmteme84554 years agoHuna akili! Kwani mbunge ndo anajenga shule? Sasa we utajenga hela unazo? 5
@
@gastordominic4104 years agoKumbe sitive siyo mzima. Mm nacheka tu kumbe jamaa maiti. 1
@
@philemongomwa37284 years agoHaka kajamaa kwenyekuongea nadhani kanakula vyombo kwanza. 1
@
@hafidhissa44054 years agoUmekubali kua kuku thamani yako pakiwa na sherehe hahaha. 2
@
@rahelgika38704 years agoHivi huyu steve anajielewa kweli! Eti msigwa hajulikani. 2
@
@Rashidmhedhery4 years agoHii channel ya ovyo sana, kama hamna cha kutuletea bora muache, hiki ki karagosi mnakitakia nini? Hakina sifa yeyote, kina kera tu! 6
@
@donaldthomas89394 years agoStive kumbe hajitambui, anataka mbunge ajenge nini na hela apate wapi, anazeeka hovyo. 1
@
@lyimoshopingbag53744 years agoWee mshamba kweli asie daiwa nani! Fala kweli ndio mana ukaumbwa mfupi. 1
@
@elishamwaya40744 years agoDuh watu wa iringa mukimchagua huyu mutakuwa mabwege hana point hata moja.
@
@stevenmsaaada.msaada.3894 years agoHao viongoz wanaomtumia steve nyerere ndio waliomtuma akamkosoe waziri kuwatumia akina steve nyerere?
@
@kanyikamasika23544 years agoKumbe stive ni segito kweli huyu ni kichaa.
@
@nicolausmavoa79094 years agoEgizamshen sio gari ya wizi bali ni gari ilioingizwa nchini kwa msamaha wa kodi. 2
@
@simonzakaria47704 years agoHivi hii tv imekosa kabisa mada zenye tija kwa wa t z.
@
@davidnicholaus53044 years agoDunia imemjua. Kwako dunia ni nini? Mouth mm. 2
@
@savimbimapesa33014 years agoUkabila huo et wahehe unataka kupotosha watu.
@
@gastordominic4104 years agoAsa na ww mtu. Mtu unakula rambirambi. 1
@
@mohamedharoub35054 years agoSteeve wew mpumbavu sanaa. Shida yako kiki. Wewe big name sababu ni tapeli wa kula michango yaumekushindaa.
@
@andrew.gadimrinji17134 years agoInaonyesha hauna ufahamu wowote. Ni pure msanii kwa maana mbabaishaji.
@
@majaliwamsigwa39744 years agoKweli we ni katuni, kapande miti mufindi.
@
@allanbhujo87364 years agoComment zote zimetoa jibu nani ninani kwa ufupi steve ni wasaa wako kujitafakari unaweza kupoteza marafiki wako kwenye taaluma yako ya usanii kisa kukosa kukaa kimya nako ni akili kubwa maana domo daima huinua na kuangamiza naona mdomo wako unakufaa kwenye sanaa si malumbano omba radhi usamehewe. ...Expand4
@
@lucascornery93204 years agoNyrere stevn ww mjinga kbsa kumtukana mtu mkubwa kama huyo.
@
@loner_wolf4 years agoSteve unaongea kwa sauti kubwa sana, yule jamaa alikukosea sana kiukweli ni hajafikiria alichokisema but alikuwa na point nzuri tu, sasa sijui mnapiga. ...Expand1
@
@fundimchizi52254 years agoSasa msigwa asionge chochote haka kajamaa kanaitumia hii nafasi hakakuwa kana sikika, sasa kameona ni nafasi kumbe kanazidi kujiaribia.
@
@deobenedictakyoo31404 years agoHakuna adabu kwnza kwnn kanatumia jina la baba wa taifa vbaya? 9
@
@fadhili22934 years agoSteve ni ugoro tu. Big name wapi au dunia ya wapi hiyo.
@
@justinekashiriririka86904 years agoMwandishi unakosea sana huwezi ukamfananisha mbwa huyo na msigwa jaman.
@
@mwanzashinyanga80604 years agoHuna lolote wewe ni choko tu msigwa humuwezi kivyovyote. 8
@
@masanjaelias58294 years agoKuwadi wa madem sijuiwanaume wenzio wew unakua upande gan.
@
@usajiliusajili65114 years agoSteve unazidi kujizika mwenyewe yaani kichwa chako umetoa ubongo na kujaza matope. 1
@
@barakamfugale10494 years agoNywele kipipipili jinga kuropoka usenge bongo movie zimekushinda tako ww.
@
@hamudseif4 years agoDah steve unaongea pumbaaa, sema fresh.
@
@kanisiamkoko70514 years agoWewe steve umuwezi msigwa kwa lolote lile hata kidogo, kakusanye pesa kwenye misiba ndo kazi yako. 10
@
@stanslausmteme84554 years agoAnaiombea nini ile ya tra? Eti then uwe mbunge. 1
Related videos for STEVE NYERERE AMTUKANA MSIGWA - Ni PANYA Tu, Nagombea UBUNGE Iringa, Ana MADENI Sana:
kumbe jamaa maiti. 1
z.
omba radhi usamehewe. ...Expand 4