WIMBO- MWENYE UHAI MMOJA | NI MUNGU BABA | UABUDIWE, USUJUDIWE MWENYE UHAI MMOJA AMBAE NI MUNGU BABA
Zechariah 14:9
Kwa nyimbo zote pata nakala yako
www.kanisahalisi.com sasa unaweza kabisa nunua nyimbo mtandaoni umerahisiahiwa kabisa.
Au pia piga simu idara ya mawasiliano Kanisa Halisi na utazipata:-
namba 255715211428, 255756423598 au 255752394318.
Kwa ibada za kila siku ingia YouTube channel ya MUNGU BABA TV
@johnmihyo56745 years ago" hakika" ni mungu baba mwenyewe. Maana kabla ilikuwa ukiona yeyeote katengeneza au kaumba ana uhai wake na huo uhai ndiyo mungu babanafsi hai mwa. 2: 7 na kutupa uhai wake(nafsi ya uhai) yeye akiwa ndoyo uhai/mwenye uhai, ni shukuruni za kuzidi kwa mungu baba. ...Expand6
@
@jefredyfrednandy58803 years agoNaitaka kwa whatssp hi nyimbo inaniimarishaa sanaa. 1
@
@jefredyfrednandy58803 years agoHuwaa nabarikiwaa sana na hi nyimbo barikiwen. 2
@
@godlivermogereja23114 years agoPia nashukuru kwakuwa tumempata baba alietuvusha kila nikifklia hadi tulipofkia utukufu ni kwa mungu baba. 1
@
@godlivermogereja23114 years agoHuu wimbo naupenda mno utukufu kwa mungu baba maana kla nnachokifanya kinategemea uhai wake ndo kistawi. 1
@
@joshuaunstoppable48435 years agoNamshukuru mungu baba kwajil ya baba mtakatifu tumevuka. 2
@
@dhahabukablayawazo53135 years agoImekuwa, nakushukuru mungu baba kwa uhai wako ndani ya kila kitu. Hakika utukuzwe mno baba mwenye uhai mmoja. 3
@
@bustanimpya45995 years agoAshukuriwe mungu baba kwan matendo take makuu. 2
@
@moyowaaganojipya49175 years agoNamshukuru mungu baba maana bila yeye du. 3
@
@trillioneaharisicerebratio93115 years agoUtamu huu wa mungu baba huwezi kuukuta popote zaidi ya kanisa halisi la mungu baba. 2
@
@MajiraMojaHalisi5 years agoKwa nyimbo zote unazozisikia hapa tafadhali wasiliana na Idara ya mawasiliano KANISA Halisi la MUNGU BABA namba 255715211428, 255756423598 au 255752394318. 2
@
@johnmihyo56745 years ago" hakika" ni mungu baba mwenyewe. Maana kabla ilikuwa ukiona yeyeote katengeneza au kaumba ana uhai wake na huo uhai ndiyo mungu babanafsi hai mwa. 2: 7 na kutupa uhai wake(nafsi ya uhai) yeye akiwa ndoyo uhai/mwenye uhai, ni shukuruni za kuzidi kwa mungu baba. ...Expand6
@
@johnmihyo56745 years ago" hakika" ni mungu baba mwenyewe. Maana kabla ilikuwa ukiona yeyeote katengeneza au kaumba ana uhai wake na huo uhai ndiyo mungu babanafsi hai mwa. 2: 7 na kutupa uhai wake(nafsi ya uhai) yeye akiwa ndoyo uhai/mwenye uhai, ni shukuruni za kuzidi kwa mungu baba. ...Expand6
Related videos for WIMBO- MWENYE UHAI MMOJA NI MUNGU BABA: