Mara tu baada ya kurudi ziara yake barani Ulaya, mataifa yale yale aliyodhani kuwa ni marafiki zake (Uingereza, Ufaransa na Ujerumani) yakaanza rasmi vitimbi vya waziwazi kuitwaa na kuitawala Dola ya Zanzibar, jambo ambalo lilimuuma mno Sultan Barghash na kusababisha mauti yake ya mapema.
Category
Show more
Comments - 15
Related videos for TAREIKH YETU MSIMU WA KWANZA (SILSILA 9): Nyakati na Maisha ya Sultan Barghash bin Said - Part 3: