Duration 8:6

Pole Apiga biti viongozi wa ZAWA Pemba. Maji yasipotoka Ndani ya Mwezi nitaruka na nyinyi

1 065 watched
0
5
Published 21 Feb 2020

Katibu Wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa Humphrey Pole pole katika ziara yake leo eneo la micheweni Pemba katika mradi wa maji uliopo Kilindini amewataka viongozi wa ZAWA washughulikie suala la maji haraka kabla ya mwezi kuisha na kushindwa kufanya hivyo atazungumza na Dr. Shein juu ya viongozi hao wanao kwanisha maendeleo kwa Wananchi.

Category

Show more

Comments - 3