Duration 49:45

FILAMU - NYAMA YA MWANANGU PART 1

281 716 watched
0
1.1 K
Published 28 Jun 2019

GLEK ONLINE TV

Category

Show more

Comments - 230
  • @
    @drraizkidume8675 years ago Mzeee msisiri anacheza tetema nani kaona apige like .... from Moçambique 17
  • @
    @chunaamina87194 years ago Movie nzuri, ina mafunzo ila najiulza wachawi halisi au wa ukweli wanapata faida gani zaidi ya Dhambi tuu🤔😭 8
  • @
    @jumaissa5344 years ago Huyu bibi mwenda sijawai ona cd yake nzuri zaidi yazakichawi siku moja nilimuona k.koo nilitaka kumkimbia anatisha kwakweri jmn huyu bibi apate tuzo jmn toka atoke kanumba sijawai ona cd yake tena kama ipo niambieni jina lake ... 5
  • @
    @swabiaa14893 years ago Msisili namkubal san n bi mwenda tunaoangalia 2023gonga like twend saw 2
  • @
    @zeinabsanaria58494 years ago 😂😂😂😂😂😂 mzee msisili daah wanivunja mbavu n kuchza kwko😂😂😂nakukbali sna 8
  • @
    @yasintakasunzu62655 years ago Toto jinga sana, anaamini watu wa nje kuliko mama yake 7
  • @
    @dianajavan6093 years ago Bi mwenda jaman tumsaidie kumwombea tuzo ivi hawamwon au dhalau 2
  • @
    @aminajuma82425 years ago Bb mwenda yupo vzuri kwa ku act wizard 7
  • @
    @evelynoscar51045 years ago Duh hakiyamungu uchawi upo.....nimetetemeka sio kidogo 4
  • @
    @sirlankagirl62565 years ago Kumbe wachawi wanakua ivi duuuuh wanapana watoto zao mungu anawaona wachawi nyie wooote😥🤦‍♀️ 11
  • @
    @jumaissa5344 years ago Kwakwer wachawi mungu anawaona yani unaapa kumla mwanao jamn uchawi unakazi gani kwani zaidi yakulala macho sioni raha yakua mchawi sasa wanafaidika nn kula mtoto wako jamn 3
  • @
    @shadyaomariy91635 years ago Wanawake sisi tuna mambo mengi sana Mmmh ila hii kz ya uchawi sio kz wajameni😂😂😂 7
  • @
    @sophiamwita4345 years ago Aisee mmenirudsha tena kuangalia bongo movie mnajtahd sana kipindi hk movie nzur sana part 2 ln 3
  • @
    @naomyerneus59395 years ago Na kuonea huruma mtoto mwenyewe mmoja warere 6
  • @
    @nuruabdallah25105 years ago Namba mbili tafadhali ....move mzuri sanaa 5
  • @
    @drraizkidume8675 years ago Gonga like apa... Kama unawakubali awa wazeee.... From Moçambique 7
  • @
    @allymahamudu94924 years ago Kumbukeni kuwa kufa kupo kwa kila moja wetu 2
  • @
    @uwizeyeimanazuwena29235 years ago Huyu mdada nilijuwa kiziwiiiiiiii kweliiiiiii hhhhhhhh kumbe yuko bombaaaa!!!!!! 5
  • @
    @halimamgomi74495 years ago Huyu bb na huyu babu 😀😁nimewaelewa kwenye kitengo Chao inaonyesha mtaani kwao sio poa 8
  • @
    @fadhilaramadan51435 years ago KABLA CJAONA MCHEZO KWANZA HUSOMA COMMENT NDIPO NIKAJUWA NZURI AU MBYA ASANT SANA WADAU NAWAPENDENI SNA😍😍😍 16
  • @
    @hamzakalinga3 weeks ago Mmenifanya niote nakimbizwa na wachawi kabisa aisee nimeamka asubuhi niko hoii kabisa 😂😂😂😂😂
  • @
    @avelincyprian27015 years ago 😂😂😂😂😂😂😂mzee msisili anachekesha anavocheza, cpatii picha ktk behind the scenes ilikuwaje, hahahaaaaa 20
  • @
    @ameenaalameena49684 years ago Kama umeikubali hii movie gonga like hapa ila mzee msisiri kicheko chako bana 😄😄😄 1
  • @
    @salmashuffa37455 years ago Hawa watu ni wachawi kweli sio video tu 10
  • @
    @fatmaally72522 years ago Vyuma vimekutana kabla ya kutizama nimesha kubari sheria
  • @
    @ummyalirashid16075 years ago Huyu bibi mbona Apenda Act uchawi hadi kafanana nao😂😂😂😂😂😂😂 23
  • @
    @aminatanzanya74754 years ago Wachaw muda mnaopoteza sibora mmuombe mungu msiwe nadhambi
  • @
    @faithkache67663 years ago Bi chonde my fav na Msisili😅,mko fiti aise😅😅,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
  • @
    @esterkapinga13365 years ago Movi nzuli sana kwa kweli dah ina pendeza 2
  • @
    @maxlove26685 years ago Wachawi kweli,wololo kumbe wakuanga hivo,ajabu sana. 1
  • @
    @doreenchris1985 years ago Nepele unamuona mama km vepee il Anakutetea mwanawe 4
  • @
    @shummylove46115 years ago Filam nzuri tunaomba muendelezo jamanii 1
  • @
    @mathildemwangaza1094 years ago Pliz muwe munatuwekea behind the scene tucheke vizuri
  • @
    @paulsaul82195 years ago mmmmmm,uchawi hatari hadi mwanao wa kumzaa mi siwezi kujiunga kwenye hiyo Chama aisee 5
  • @
    @maryamashmrei99995 years ago 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jamaa' amelikumbatia kinuu 9
  • @
    @rizoibrahimovich605last year Ni kheri kumsikiliza mama kuliko kuwasikiliza watu nje, hakika mama anaona mbali maana ni yeye alokulea kuanzia mwaka 0 mpaka utu uzimani
  • @
    @erickponda84245 years ago Wapi part 2....Somoe na mkwewe wakiungana, wanaweza muokoa Nepele kutoka kwa mikono ya wachawi 4
  • @
    @aminatanzanya74754 years ago Mam ako kasema no we unalazimish yes subir matokeo yake
  • @
    @neemamasha60194 years ago We mtoto mbonamkaidi kiasi kuwa hata humsikilizi mzazi wako we mtoto mshenzi sana 1
  • @
    @biommy67005 years ago Mwana m'bishi uyu kha!...Km nyama ya tutu Wacha yamkute asosikia la mama..alafu anang'ang'aniaa 1